Featured

    Featured Posts

WAFUGAJI WA KIJIJI CHA NYASAUNGU WAAHIDI KUHESABIWA KWA ASILIMIA 100

 


Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini anaendelea na KAMPENI za kuelimisha na kuhamasisha ushiriki mzuri kwenye SENSA ya WATU na MAKAZI.


Jumatano, 10.8.2022 alikuwa Kijijini Nyasaungu, Kata ya Ifulifu.


Wakazi wa Kijiji hiki ni WAFUGAJI na WAKULIMA


Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO ya Taarifa ya Habari kuhusu uelewa wao mzuri sana juu ya umuhimu wa SENSA ya Watu na Makazi.


Leo, Alhamisi, 11.8.2022, Mbunge huyo alipiga Kampeni hiyo kwenye Kata za Bugwema (Vijiji 4) na Bugoji (Vijiji 3)


Kesho, Ijumaa, 12.8.2022 ataendelea na Kampeni hiyo kwenye Kata za Nyambono (Vijiji 2) na Etaro (Vijiji 4)


Kesho, Mhe Mkuu wa Wilaya yetu, Dkt Khalfani Haule atapiga Kampeni hiyo kwenye Kata ya Suguti (Vijiji 4)


MUSOMA VIJIJINI -  KAMPENI YA UHAMASISHAJI WA USHIRIKI WA ASILIA 100 KWENYE SENSA YA WATU NA MAKAZI INAENDELEA HADI TAREHE 22.8.2022


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

https://ift.tt/1qwLQYZ








author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana