Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MWINYI AWASILI DODOMA KUSHIRIKI VIKAO/MKUTANO MKUU WA CCM

 


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi-CCM, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi,  akiambatana na mkewe Mama Mariam Mwinyi,  amewasili Dodoma jioni hii tayari  kuhudhuria vikao vya kikatiba vya Chama cha Mapinduzi na Mkutano Mkuu wa CCM Taifa utaofanyika tarehe 07/12  na tarehe 08/12.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana