Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Komredi Christina Mndeme ameibua shangwe na nderemo alipokuwa akihutubia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Walimu Tanzania kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Disemba 15, 2022.
Mndeme akiagana na viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma baada ya kuzungumza na walimu. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDAMdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mndeme akihutubia mkutano huo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Post a Comment