Featured

    Featured Posts

FUNGAMEZA: TUUFANYE UONGOZI WA MKOA WA DODOMA, USILALE, UKUKURUKE, UENDE MCHAKAMCHAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma, Khamis Fungameza amesema kuwa ili wajumbe wa baraza hilo wasije wakachekwa baadaye inabidi uongozi mzuri wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na timu yake tuuamshe usialale, tuufanye ukukuruke, tuuendeshe mchakamchaka kuwatumikia wananchi. Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa wa baraza hilo uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jijini Dodoma Februari 24, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule


 Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Fungameza pamoja na mambo mengine akisisitiza hilo.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana