Featured

    Featured Posts

MSIGWA: PRESSCARD SASA KUPATIKANA KWA NJIA YA MTANDAO+video


 Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari-MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumza wakati wa kuhitimisha mkutano wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari -MAELEZO jijini Dodoma Februari 23, 2023, amesema kuwa wanakamilisha mazungumzo na eGA kuwezesha kazi nyingi za MAELEZO kufanyika kwa njia ya mtandao na Presscard pia kupatikana kwa njia hiyo.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Msigwa akielezea walivyojiandaa kutekeleza hayo....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana