Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akihoji swala hilo...
MWANYIKA AITAKA SERIKALI IPELEKE NJOMBE VIFAA VYA KISASA VYA KUZIMIA MOTO MASHAMBA YA MITI+video
Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika amehoji bungeni Februari 8, 2023, ni lini serikali itapeleka Njombe vifaa vya kisasa vya kuzimia moto ambao kila mwaka unateketeza mashamba ya miti?
Post a Comment