"Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila hatua . Kwa hakika kupitia wewe utukufu wako umeonekana. Namshukuru Rais wetu Samia_Suluhu_Hassan kwa kuniamini na kuniteuwa kwenda kumsaidia upande wa Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Utawala Bora. Ni heshima kubwa sana umetupa. Ahadi kwako na Watanzania nitafanya kazi kwa nguvu na vipawa vyangu vyote." #KaziInaendelea #MaslahiWafanyakazi


Post a Comment