Jumla ya Sekondari 27
*25 za Kata/Serikali
*2 za Madhehebu ya Dini
(shule za binafsi)
Kikao cha kufanya tathmini:
*Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, aliitisha Kikao hicho kati yake yeye na Wakuu wa Shule zote.
Tarehe & Mahali pa Kikao:
*Ijumaa, 3.2.2023
*Busambara Sekondari
Kijijini Kwikuba
*Mahudhurio (92.6%):
Sekondari 25 zilihudhuria. Kati ya Sekondari mbili ambazo hazikuhudhuria, moja ni ya binafsi.
SEHEMU YA KWANZA
*Tutaanza kwa kuonyesha ufaulu wa Sekondari zetu kwa miaka mitatu mfululizo (2020-2022)
*Sehemu ya pili ya taarifa itaeleza sababu za ufaulu wetu kutorodhisha, na mapendekezo ya uboreshaji wa mbinu za kujifunza na kufundisha yatatolewa.
Mtiririko wa Ufalu kwa Miaka 3 (2020 - 2022)
Form II (2020)
Kata: Div I-III 10-41%
Binafsi: 87%
Kata: Div IV-0 59-90%
Binafsi: 13%
Form IV (2020)
Kata: Div I-III 6-21%
Binafsi: 100%
Kata: Div IV-0 79-94%
Binafsi: 0%
Form II (2021)
Kata: Div I-III 7-40%
Binafsi: 66%
Kata: Div IV-0 60-93%
Binafsi: 34%
Form IV (2021)
Kata: Div I-III 5-29%
Binafsi: 83%
Kata: Div IV-0 71-95%
Binafsi: 17%
Form II (2022)
Kata: Div I-III 4-20%
Binafsi: 59%
Kata: Div IV-0 80-96%
Binafsi: 41%
Form IV (2022)
Kata: Div I-III 7-39%
Binafsi: 98%
Kata: Div IV-0 61-93%
Binafsi: 2%
*Ufaulu wa Sekondari zetu za Kata hauridhishi
*Nini kifanyike kuboresha na kuongeza uelewa na ufaulu kwenye Sekondari zetu za Kata? Fuatilia sehemu ya pili ya taarifa ya mjadala huu.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
https://ift.tt/1fgJ7P5

Post a Comment