Featured

    Featured Posts

TATHMINI YA UFAULU WA MITIHANI KWENYE SEKONDARI ZA MUSOMA VIJIJINI (2020-2022)



Jumla ya Sekondari 27

*25 za Kata/Serikali

*2 za Madhehebu ya Dini

    (shule za binafsi)


Kikao cha kufanya tathmini:

*Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, aliitisha Kikao hicho kati yake yeye na Wakuu wa Shule zote.


Tarehe & Mahali pa Kikao:

*Ijumaa, 3.2.2023

*Busambara Sekondari

Kijijini Kwikuba


*Mahudhurio (92.6%):

Sekondari 25 zilihudhuria. Kati ya Sekondari mbili ambazo hazikuhudhuria, moja ni ya binafsi.


SEHEMU YA KWANZA

*Tutaanza kwa kuonyesha ufaulu wa Sekondari zetu kwa miaka mitatu mfululizo (2020-2022)


*Sehemu ya pili ya taarifa itaeleza sababu za ufaulu wetu kutorodhisha, na mapendekezo ya uboreshaji wa mbinu za kujifunza na kufundisha yatatolewa.


Mtiririko wa Ufalu kwa Miaka 3 (2020 - 2022)


Form II (2020)

Kata: Div I-III  10-41%

Binafsi:          87%

Kata: Div IV-0 59-90%

Binafsi:          13%


Form IV (2020)

Kata: Div I-III  6-21%

Binafsi:         100%

Kata: Div IV-0  79-94%

Binafsi:           0%


Form II (2021)

Kata: Div I-III  7-40%

Binafsi:          66%

Kata: Div IV-0 60-93%

Binafsi:          34%


Form IV (2021)

Kata: Div I-III  5-29%

Binafsi:          83%

Kata: Div IV-0  71-95%

Binafsi:          17%


Form II (2022)

Kata: Div I-III  4-20%

Binafsi:          59%

Kata: Div IV-0 80-96%

Binafsi:          41%


Form IV (2022)

Kata: Div I-III  7-39%

Binafsi:          98%

Kata: Div IV-0  61-93%

Binafsi:          2%


*Ufaulu wa Sekondari zetu za Kata hauridhishi


*Nini kifanyike kuboresha na kuongeza uelewa na ufaulu kwenye Sekondari zetu za Kata? Fuatilia sehemu ya pili ya taarifa ya mjadala huu.


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

https://ift.tt/1fgJ7P5



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana