Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2021/2022, kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, Ikulu Jijini Dar es salaam, leo Machi 29, 2023.
Rais Samia Suluhu Hassan, akipokea Taarifa ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka wa fedha wa 2021/2022 kutoka kwa Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Kamishna wa Polisi Salum Hamduni, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Machi 29, 2023.
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza baada ya kupokea Taarifa ya Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka wa Fedha wa 2021/2022 na Taarifa ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka huo wa fedha, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Machi 29, 2023.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria hafla hiyo.
Post a Comment