Featured

    Featured Posts

YANGA SC ILIVYOONDOKA LEO DAR KUIFUATA MAZEMBE LUBUMBASHI

 


WACHEZAJI wa Yanga, beki Dickson Job (kushoto) na winga Dennis Nkane (kulia) wakati wa safari ya kwenda Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) leo kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, TP Mazembe Jumapili.

Beki Juma Shabani (juu) na winga Mkongo mwenzake, Jesus Moloko wote wanakwenda kuikabili timu ya nyumbani ya kwao



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana