Featured

    Featured Posts

MARIAM NYOKA AITAKA SERIKALI IIPATIE MAGARI HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA+video


 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Ruvuma, Mariam Nyoka amehoji bungeni Dodoma Aprili 5, 2023, kwamba Serikali haioni umuhimu wa kununua gari la utawala na Mganga Mfawidhi katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma?

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mariam akipambania magari hayo......

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana