Featured

    Featured Posts

MBUNGE SILANGA AZIDI KUIPAMBANIA ITILIMA+video


 Mbunge wa Itilima, Njalu Silanga ameitaka serikali kuiongezea fedha Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ili barabara na madaraja yajengwe katika wilaya ya Itilima. Ametoa ombi hilo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya TAMISEMI bungeni Dodoma Aprili 17, 2023.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Silanga akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana