Featured

    Featured Posts

NAIBU WAZIRI MBAROUK: MUDA SI MREFU DIASPORA WATAPATIWA HADHI MAALUMU YA URAIA+video

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mbarouk Nassoro Mbarouk ameliambia bunge jijini Dodoma Aprili 14, 2023, kuwa serikali imo mbioni kuwapatia watanzania wanaoishi nje ya nchi (DIASPORA) hadhi na hati maalumu ya uraia.

AIdha, amesema kuwa Diaspora wamekuwa wakichangia uchumi wa nchi ambapo kwa mwaka uliopita wametuma nchini zaidi yash. trilioni 2.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbarouk akielezea kuhusu uamuzi huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana