Featured

    Featured Posts

SPIKA TULIA AITAKA EATV KUSAHIHISHA YALIYOMSIBU MBUNGE KAIJAGE+video

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson ameitaka EATV kuweka usahihi wa kilichomsibu Mbunge wa Viti Maalumu, Dkt Alice Kaijage ambaye jina lake liliwekwa kwenye mchango uliotolewa na mbunge mwingine, Jane Jerry hivyo kumsababishia usumbufu katika jamii.

Dkt. Tulia ameyasema hayo bungeni Dodoma Aprili 20, 2023 wakati wa kipindi cha matangazo.
Spika Dkt. Tulia
Mbunge Dkt Kaijage.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Spika Tulia akitoa taarifa hiyo...

 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana