Featured

    Featured Posts

YANGA SC YAWAPIGA TP MAZEMBE 1-0 NA PALE PALE LUBUMBASHI


BAO pekee la Farid Mussa dakika ya 63 limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa TP Mazembe Jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Yanga SC inamaliza na pointi 13, ikiendelea kuongoza mbele ya Monastir ya Tunisia yenye pointi 10 ambayo baadaye usiku itamenyana na Real Bamako Jijini Tunis.

Kama Monastir watashinda kwa wastani wa zaidi ya mabao matatu basi wataongoza kundi hilo dhidi ya wana Robo Fainali wenzao, Yanga SC.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana