Featured

    Featured Posts

KOMREDI CHONGOLO APONGEZWA KUMJENGEA NYUMBA MWENYEKITI MJANE WA SHINA+video

Mwenyekiti wa Shina  namba 7 Rose  Zelemelamjane  ambaye anaishi nyumba ya kupangaakimshukuru Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo kwa kumpatia zawadi ya nyumba  baada ya kufanikisha harambee ya ujenzi wa nyumba hiyo wakati wa mkutano wa shina hilo katika Kijiji cha Ilambiloli, Isimani, mkoani Iringa Mei 30, 2023.

Katibu waNEC Itikadi  na Uenezi wa CCM, Sophia Mjema akianzisha harambee hiyo.Mbunge wa Isimani, Willoiam Lukuvi akimshukuru Katibu wa NEC Oganaizesheni wa CCM, Issa Haji Gavu kwa kuchangia ujenzi wa nyumba hiyo.
Wananchi waliotoa pongezi kwa viongozi wa CCM na hasa Katibu Mkuu Chongolo kufanikisha  harambe hiyo.





PICHA ZOTE RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, wananchi hao wakitoa pongezi hizo...







 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana