Featured

    Featured Posts

MWANYIKA AZIDI KUIKOMALIA SERIKALI UFUFUAJI KIWANDA CHA MAZIWA NJOMBE+video

Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akihoji bungeni Dodoma Mei 11, 2023 kwamba ni nini mpango wa serikali kufufua kiwanda cha maziwa Njombe? Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akihimiza ufufuaji wa kiwanda hicho...

 

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana