Featured

    Featured Posts

MWANYIKA: TUNAKITAKA KIWANDA CHETU CHA MAZIWA NJOMBE+video

Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameomba serikali ichukue hatua za makusudi kukifufua kiwanda cha maziwa Njombe ili kuwakomboa wafugaji wanaokitegemea. Ameyasema hayo alipokuwa akitoa mchango wake katika mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi bungeni Dodoma Mei 3, 2023.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akipambania kiwanda hicho....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana