Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Katibu wa NEC Organizesheni ya CCM, Issa Haji Gavu amewataka wananchi kuwapuuza wapinzani wenye ndimi mbili zisizo na kauli ya kweli wala dhabiti kwa vile hawaongei kilichopo moyoni bali kutoka kwenye ulimi, hivyo amewaomba kuendelea kukiamini Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yenye lengo dhabiti la kuwaletea maendeleo.Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM wa kuelimisha wananchi kuhusu usahihi wa uwekezaji wa Bandari ya Dcar es Salaam kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Julai 30, 2023 ulioongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Daniel Chongolo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Post a Comment