Michael Mhagama mkurugenzi wa shule hiyo akishiriki kupanda miti kutimiza takwa la serikali la kuanza kupanda miti kabla ya kuanza ujenzi.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,Pius Barra akipanda mitiEneo la shule hiyo panapotarajiwa kupanda miti 500
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mazingira ya Habari Consevation Bernard Mwanawile akiongoza kupanda miti katika eneo hilo
Wanafunzi wakishiriki kupanda miti
Baadhi ya miti itakayopandwa
Bernard akiwa na baadhi ya wanafunzi walioshiriki kupanda miti.
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya videov kujua yaliyojiri wakati wa upandaji miti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
Post a Comment