Featured

    Featured Posts

NAIBU WAZIRI MBAROUK ATOA UFAFANUZI SABABU ZA KUWA NA UBALOZI NJE YA NCHI+video

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushikiano wa Afrika Mashariki,v Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ametoa ufafanuzi bungeni leo Septemba 8, 2023, kwamba tathmini hufanyika kwanza kujua tija  itakayopata Tanzania kabla ya kuamua kupeleka balozi katika nchi husika.


Ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni leo. Bunge limeahirishwa leo hadi Oktoba 30, 2023.

Naibu Waziri Mbarouk akijadiliana jambo na Naibu Waziri  mwenza wa wizara hiyo anayehusika na mambo ya Afrika Mashariki, Stephen Byabato.
Mbarouk akiwa na  aliyekuwa waziri wa wizara hiyo ambaye kwa sasa amehamishiwa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt Stergomena Tax pamoja na Byabato.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Naibu Waziri Mbarouk akitoa ufafanuzi huo...



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana