Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akimsalimia kwa mtindo wa 5G wa Yanga, Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu walipokuwa wakijadiliana jambo bungeni Dodoma Novemba 6, 2023. Nchemba ni mpenzi mkubwa wa Yanga na Zungu ni mnazi wa Simba. Katika Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wa watani wa jadi, Yanga iliibugiza Simba mabao 5-1 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa Dar Es Salaam Novemba 5, 2023.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tabora, Jacqueline Kainja akisalimia kwa mtindo wa 5G kwenye viwanja vya Bunge alipokuwa akiingia bungeni Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalumu, Khadija Taya 'Keisha'
Mbunge wa Makete, Feston Sanga
Mbunge wa Viti Maalumu, Neema Lugangira
Mbunge wa Lupa, Chunya, Masache Kasaka
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Author Name
Author Description!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment