Featured

    Featured Posts

HAFLA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANA DODOMA


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi akiongoza kukata keki maalumu iliyoandaliwa kwa ajili ya hafla ya chakula cha usiku kwa watumishi wa ofisi hiyo kwa ajili ya kuuaga mwaka 2023 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2024  kwenye Ukumbi wa New Generation jijini Dodoma Desemba 19, 2023. Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt Boniface Luhende  alialikwa katika hafla hiyo.

Watumishi wakifungua mvinyo
Viongozi na Watumishi wakigongeana glasi ikiwa ni ishara ya kutakiana heri.



Sasa ni wakati wa kusakata muziki.










Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji, Dkt Feleshi akizungumza na watumishi katika hafla hiyo ambapo alisisitiza kuzingatia weledi na ubora katika kazi.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniface Luhende akitoa neno wakati wa tafrija hiyo.



Sasa ni wakati wa kupata mlo wa usiku.






 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203






author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana