Featured

    Featured Posts

DKT NCHIMBI ATINGA MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akiwasili Makao Makuu ya chama hicho wakati wa mapokezi jijini Dodoma Januari 23, 2025.
Dkt . Nchimbi akivishwa skafu na vijana wa UVCCM
Dkt. Nchimbi akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, Neema Majule.
Msafara wa Dkt. Nchimbi ukitokea Uwanja wa Ndege wa Dodoma kwenda Makao Makuu ya CCM.
Dkt. Nchimbi akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaji Adam Kimbisa.

Dkt. Nchimbi akijadiliana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Anamring Macha.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda akiwa miongoni mwa viongozi walioshiriki mapokezi ya Dkt Nchimi.
Sehemu ya wanachama na wafuasi wa CCM



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203
 

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana