Featured

    Featured Posts

DKT NCHIMBI NI CHAGUO SAHIHI, TUMUUNGE MKONO-ASENGA


 Mbunge wa Kilombero, Ifakara mkoani Morogoro, Abubakar Asenga amefurahishwa na ujio wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi na kwamba muunganiko wa pasi zao  na Katibu Mwenezi wa  chama hicho utaifanya CCM kupata ushindi mnono katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu 2025.


Ameyasema hayo alipokuwa akitoa maoni yake kuhusu uteuzi wa Dkt Nchimbi katika viunga vya Bunge jijini Dodoma Januari 19, 2024.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana