Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Chongolo akihutubia wakati wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali, Makandarasi na Washauri Elekezi wa Ndani ulioangazia nafasi yao katika utekelezaji wa miradi Novemba 21, 2023 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ambaye alikuwa mgeni rasmi akihutubia wakati wa mkutano huo.Baadhi ya makandarasi wakiwa katika mkutano huo
Baadhi ya makandarasi wakitiliana mikataba ya maushirikiano
Wakandarasi wakiwa makini kumsikiliza Komredi ChongoloIMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203


Post a Comment