Featured

    Featured Posts

KENYA WAFIKIA 281 WAGONJWA WA CORONA

  Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe ametangaza visa vipya 11 vya COVID-19 nchini humo na idadi ya waathirika wa ugonjwa huo imefikia 281.

Wagonjwa wapya wote hawajasafiri siku za hivi karibuni, na watatu waliotokea Mombasa walikuwa karibu na Mgonjwa wa Corona aliyepoteza maisha wiki moja iliyopita

Mbali ya ongezeko la waathirika nchini humo, imetangazwa kuwa wagonjwa wawili wa COVID-19 wamepona na jumla ya waliopona nchini humo hadi sasa ni 69

Watu wapatao 13,872 wamepimwa tangu Virusi vya Corona viripotiwe kwa mara ya kwanza nchini humo

Idadi ya waliofariki dunia imebakia 14 na hakuna vifo vipya vilivyoripotiwa
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana