Featured

    Featured Posts

DEREVA WA GUTA APATA AJALI

Wananchi wakishuhudia Askari akipima Ajali eneo la Kagera Jijini Dar es Salaam jana Baada ya Mwendesha Guta kupata ajali jana Mei 9, 2020 iliyohusishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 735 DJY.  
 Wasamaria wema katika eneo la Gegera Jijini Dar es Salaam wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya Dereva wa guta kugongwa eneo hilo nakukimbizwa Hospitali.
 Wasamaria wema wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya mwendesha guta eneo la Kagera Jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2020.Kugongwa na Gari hilo na kukimbizwa Hospitali kwa matibabu zaidi



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana