Featured

    Featured Posts

Video: DK MWANJELWA ATAJA MIRADI LUKUKI AKIMUOMBEA KURA DK MAGUFULI KYELA

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya kupitia CCM, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa akipiga magoti kumuombea kura Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela na wagombea udiwani wa CCM  wakati wa mkutano wa kampeni katika Kata ya Ipinda, wilayani Kyela, Mbeya.
Dk. Mwanjelwa akiungana na wananchi kucheza kwa furaha wakati wa kampeni hizo ambapo yeye alikuwa mgeni rasmi.



 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana