Featured

    Featured Posts

DK. BASHIRU AZUNGUMZA NA BARAZA LA WAZEE WA CCM, ZANZIBAR, LEO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Bashiru Ally Kakurwa, akizungumza na Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar juu ya mwenendo wa uchaguzi ndani ya Chama kelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika  mwishoni mwa mwezi huu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk, Abdallaah Juma Mabodi
Wazee wa Baraza wakimsikiliza
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana