Featured

    Featured Posts

DK. HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI AAPISHWA LEO KUWA RAIS ZA ZANZIBAR

Dk.Hussein Ali Haasan Mwinyi  akipa kuwa Rais wa awamu ya nane ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar alipoapishwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othuman Makungu katika sherehe za kumuapisha zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, leo.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu akimuapisha Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakati wa  sherehe za kiumuapisha zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, leo. Aliyeketi akishuhuia ni Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein. Matukio mengine yahanyohusu sherehe hiyo tutaweka baadaye. ([Picha na Ikulu.)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana