Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Dk. Tulia Akson aliyekuwa Mgombea Pekee wa Kiti cha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, leo amechaguliwa kushika wadhifa huo, baada ya wa wabunge wote 354 waliokuwa Bungeni kupiga kura na hatimaye kuibuka na ushindi kwa kupata kura 350 akiwa amekosa kura nne tu.
Post a Comment