Featured

    Featured Posts

DK. TULIA AKSON AUTWAA TENA UNAIBU SPIKA, BAADA YA KUCHAGULIWA KWA KURA 350 ZA WABUNGE, LEO JIJINI DODOMA

Dk. Tulia Akson aliyekuwa Mgombea Pekee wa Kiti cha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, leo amechaguliwa kushika wadhifa huo, baada ya wa wabunge wote 354 waliokuwa Bungeni kupiga kura na hatimaye kuibuka na ushindi kwa kupata kura 350 akiwa amekosa kura nne tu.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana