Wabunge wakimpongeza Majaliwa Kassim Majaliwa baada ya Spika wa Bunge Job Ndugai kutangaza kuwa Rais Dk. John Magufuli amependekeza lake (Majaliwa) kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma, leo. Baadaye Wabunge walipiga kura na kumkubali kwa kumpa kura 354 sawa na asilimia 100. Kura zilipigwa na jumla ya Wabunge 364. Majaliwa anatarajiwa kuapishwa kesho.
Post a Comment