Featured

    Featured Posts

MZEE MZINDAKAYA AIPONGEZA CCM NA KUNENA MAKUBWA KUHUSU USHINDI WA KISHINDO ILIOUPATA


 

👆Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally jana alipoa salam za pongezi kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoka kwa mwanasiasa mkongwe nchini, Mbunge mstaafu Mzee Crisant Mzindakaya.

Katibu Mkuu amepokea pongezi hizo, jana Novemba 11, 2020 alipotembelewa na Mzee Mzindakaya Ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM na kuwa na mazungumzo. Tafadhali Bofya Video hiyo hapo👇
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana