|
👆Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally jana alipoa salam za pongezi kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoka kwa mwanasiasa mkongwe nchini, Mbunge mstaafu Mzee Crisant Mzindakaya.
Katibu Mkuu amepokea pongezi hizo, jana Novemba 11, 2020 alipotembelewa na Mzee Mzindakaya Ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM na kuwa na mazungumzo. Tafadhali Bofya Video hiyo hapo👇
|
Author Name
Author Description!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment