Featured

    Featured Posts

NBS YATANGAZA SHINDANO LA WAANDHISHI BORA WA HABARI ZA TAKWIMU


Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeandaa Shindano la Waandishi wa Habari za Kitakwimu ikiwa ni sehemu ya Kuadhimisha Siku ya Takwimu Afrika kwa Mwaka huu wa 2020.

Katika kuwashirikisha Waandishi wa habari katika Maadhimisho hayo Mamlaka ya Takwimu Tanzania (NBS) imetangaza Shindano la kupata Mwandishi bora wa habari za takwimu mwaka 2020.

 Tangazo pia linapatikana katika tovuti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana