Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MWINYI ATETA NA VIONGOZI WA WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI, VIONGOZI WA SHIRIKA LA BANDARI, IKULU, LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali   Mwinyi (katikati) akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji na Viongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo, wakiwepo na Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Nd.Khamis Mussa Omar. (Picha na Ikulu)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana