Featured

    Featured Posts

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA MAANDALIZI YA MAHALI ATAKAKOAPISHIWA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI, KESHO JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maandalizi ya uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, ambao utatumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika, kesho Novemba 5, 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maandalizi ya uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, ambao utatumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika, kesho Novemba 5, 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, wakati akiwasili kwenye viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, kukagua maandalizi ya uwanja huo utakaotumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika kesho Novemba 5, 2020. PICHA: OFISI YA WAZIRI MKUU
 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana