Featured

    Featured Posts

WAJANE WA MARAIS NYERERE NA MKAPA HAWAKUKOSA SHEREHE ZA KUAPISHWA DK MAGUFULI DODOMA

Mama Maria Mjane wa Rais wa kwanza wa Tanzania, Hayati Julius Nyerere akiwa ameshuka kwenye gari tayari kuhudhuria sherehe za kuadhimishwa kwa Dk. John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kipindi cha pili cha miaka mingine mitano kenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma Novemba 5, 2020. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Mama Maria akiondoka uwanjani baada ya kuhudhuria

 Anna Mjane wa Rais wa Awamu ya Tatu wa Tanzania, Hayati Benjamin Mkapa akiagana na viongozi wa vyombo vya Ulinzi na Usalama baada ya kuhudhuria sherehe hizo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana