Viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania, wakijadiliana jambo walipofika kukagua maandalizi ya kuapishwa kwa Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Diwani Athuman, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,Jenerali Venance Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA.
Post a Comment