Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MAGUFULI ATETA NA WATOTO BAADA YA KUHUTUBIA WANANACHI WA MANYONI MJINI MKOANI SINGIDA, LEO


"Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao":  Rais Dk. John Magufuli, akiteta jambo na watoto, baada ya kuwahutubia wananchi wa Manyoni mjini mkoani Singida, alikosimama akiwa safarini kutoka Tabora kwenda mkoani Dodoma, leo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana