RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Amani Karume alipofika nyumbani kwake Mbweni Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na kuzungumza nae, baada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Majid Rahma Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, jana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Amani Karume alipofika nyumbani kwake Mbweni Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na kuzungumza nae, baada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Majid Rahma Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, jana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akisindikizwa na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Amani Karume wakati akiondoka baada ya kumtembelea nyumbani kwake Mbweni Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na kuzungumza nae, baada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Majid Rahma Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, jana. (Picha zote na Ikulu, Zanzibar)
Post a Comment