Rais Dk. John Magufuli akizindua mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Miji ya Tabora, Igunga na Nzega mjini Tabora, leo, mardi huo umegharimu Sh. Bilioni 617.
Rais Dk. John Magufuli akisoma bango la Wizara ya Maji kuhusu mradi huo, baada ya kuuzindua leo leo, mardi huo umegharimu Sh. Bilioni 617. (Picha na Wizara ya Maji)
Post a Comment