Featured

    Featured Posts

MBUNGE ASSENGA ATETA NA WAZIRI MKUU, MAJALIWA ANUSURU ATHARI ZA MAFURIKO KILOMBERO

Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Abubakar Assenga (katikati) akimueleza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma juzi kuhusu athari za mafuriko kutokana na mto Lumemo kujaa na kusababisha athari kubwa kwa wakazi wa jimbo hilo pamoja na miundombinu ya barabara kuharibika.Kushoto ni Mbunge wa Morogoro Kusini, Hamis Taletale.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

 Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza clip hii ya video Mbunge Assenga akielezea athari za  mafuriko hayo na msaada alioomba kwa Waziri Mkuu, Majaliwa ii Serikali isaidie.....


Imeandaliwa na Richard Mwaikenda

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana