Featured

    Featured Posts

KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MZEE MSEKWA, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo akisamiliana na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mzee Pius Msekwa, aliyefika Ofisi kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo akisikiliza alipokuwa katika mazungumzo na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mzee Pius Msekwa, aliyefika Ofisi kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo akiagana na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mzee Pius Msekwa, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. (Picha zote na Mpigapicha Maalum)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana