Featured

    Featured Posts

KENANI KIHONGOSI ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA UMOJA WA VIJANA WA CCM

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi (pichani) kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM.

 Kihongosi anachukua nafasi ya Raymond Mwangwala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro.

Uteuzi huo umetangazwa  mbele ya vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Shaka Hamdu Shaka katika Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma mara baada ya kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete kumalizika.
 

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana