Featured

    Featured Posts

MBUNGE LONDO AWAPAMBANIA WAKULIMA WA MIWA JIMBONI

 Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Dennis Londo ameihoji Serikali bungeni kuwa ni lini upanuzi wa Kiwanda cha sukari cha llovo utakamilika na kwa kiasi gani upanuzi huo utaenda sambamba na kuondoa kero ya mizani na vipimo vya sucrose kwa wakulima wa miwa? 

 Londo amehoji katika mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha 46 bungeni Dodoma Juni 7, 2021. 

 Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Londo akiwapambania wakulima wa miwa .... 

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana