Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais Samia Suluhu Hassan, akilakiwa na wajumbe baada ya kuwasili ukumbini kuongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo. (Picha na Ikulu)



Post a Comment