Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanakijiji wa Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kukagua ujenzi wa nyumba za makazi ya wananchi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro walioridhia kuhamia katika makazi hayo mapya yanayojengwa na serikali kijijini hapo. Mheshimiwa Majaliwa alikagua ujenzi huo, Machi 13, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa wa nyumba za makazi ya wananchi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro walioridhia kuhamia katika nyumba zinazojengwa na serikali kwenye kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga Machi 13, 2022. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa nyumba za makazi ya mwananchi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro walioridhia kuhamia katika katika nyumba zinzojengwa na serikali kwenye kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, Machi 13, 2022. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete na wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adama Malima
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima wakati alipokagua ujenzi wa nyumba za makazi ya wananchi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro walioridhia kuhamia katika nyumba zinazojengwa na serikali kwenye kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga. , Machi 13, 2022. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment