Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda naye akisema maneno ya kuhitimisha mgogoro huo wa muda mrefu.
Katibu wa CCM Wilaya ya Bahi, Jamila Mujungu akishiriki katika usuluhishi wa mgogoro huo na kuomba busara itumike kwa pande zote ikiwemo kuwapatia sehemu ya viwanja wananchi 48 waliomo kwenye mgogoro huo.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bahi,Stewart Masima naye akishiriki katika suluhu ya mgogoro huo.
Diwani wa Kata ya Mbamatwa akielezea historia ya mgogoro huo.
Diwani wa Kata ya Bahi akelezea kuhusu mgogoro huo.
Baadhi ya wakazi wa Bahi Sokoni walioathirika na mgogoro huo.
Mmoja wa waathirika wa mgogoro huo akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa Mtaka na kuomba atumie busara kuumaliza mgogoro ili kila upande upate haki.
Boaz ambaye alidaiwa kuandika barua kwa rais kuhusu mgogoro huo, akikana kuandika barua hiyo.
Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mbamatwa akielezea kwa masikitiko jinsi ardhi yao ilivyotwaliwa bila kushirikishwa na kuomba Serikali iwarejeshee
Sehemu ya wananchi wakiwa katika mkutano huo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue namna mgogoro huo ulivyomalizwa.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
Post a Comment