Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika akitangaza kuanzisha Taasisi ya Deo Mwanyika Foundation itakayojihusisha na kupinga ukatili kwa Mwanamke na Mtoto
"Taasisi hii ya Deo Mwanyika Foundation itafanya kazi kwa Ukaribu na Wanawake kwani hawa ndio watu muhimu katika kupinga ukatili kwa Mwanamke na Watoto maana ndani ya Jamii kuna ukatili unafanyika na pengine hauripotiwi kabisa" @DeoMwanyikaMbungeNjombeMjini.
"Nawapongeza sana Wanawake kwa Siku yenu hii Muhimu maaana Wanawake Mnamchango mkubwa sana kwa Taifa na Jamii,Mimi Mbunge wenu Mwenyewe Nipo hapa kwaajiri ya Mwanamke kwa maana ya Mama yangu, Mke Wangu,na Watoto wangu" amesema wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa Njombe Mjini Machi 8, 2022.
Post a Comment